Baada ya zaidi ya miaka 66 ya ushirikiano wa kihistoria katika tasnia ya habari Afrika Mashariki, hatua mpya imeanza kufuatia uamuzi wa Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) kuuza hisa zake k ...
Anna Mwansasu, mkazi wa Kivule, jijini Dar es Salaam ameishukuru serikali kwa kumsaidia kugharamia matibabu ya kubadilishiwa kifaa cha CRT (Cardiac Resynchronization Therapy), ambacho kinausaidia moyo ...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa vita vinavyoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati vinatarajiwa kumalizika hivi karibuni. Kauli hiyo aliitoa wakati akijibu swali la mwandishi wa habari ...
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, imesema itaboresha kituo cha huduma kwa wateja ambacho kitakuwa kikipokea simu mbalimbali na kusikiliza malalamiko ya wananchi, ili kuwafikia wote mikoa yote nch ...
Wakazi wa Kijiji cha Mgowelo kilichopo katika Kata ya Nyanzwa, Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, bado wanaendelea kulia kuomba msaada wa haraka baada ya daraja lao kusombwa na mafuriko yaliyotokea juzi ...
MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya Maafande wa Tanzania Prisons sasa itachezwa keshokutwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini, Dodoma. Tanzania Prisons imelazimika kuupeleka mchezo huo Dodoma kufuatia uwanja ...
Serikali imesema iko tayari kupokea maoni na mapendekezo ya wadau, hususan Chama cha Majaji Wanawake Tanzania (TAWJA), kuhusu marekebisho ya sheria kuimarisha ulinzi wa wanawake na watoto, dhidi ya vi ...