‎Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimeingia makubaliano na Taasisi ya Ali Kimara Disease Foundation (AKRDF) ya kupokea Sh. milioni 100 kwa ajili ya kuendesha tafiti kuhusu m ...
‎Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dorothy Gwajima, amewataka wanawake wanaofanya kazi katika Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuwa vinara wa mabadiliko katika kufan ...
Serikali imesema Tanzania ina mifumo madhubuti ya kulinda haki za binadamu inayokidhi vigezo vya kimataifa, na kwamba imeendelea kuimarishwa kadri miaka inavyokwenda. Msimamo huo umetolewa na Balozi w ...
Mkurugenzi Mkuu wa EWURA Dk James Mwainyekule, leo, 4 Machi, 2026 ameshiriki kikao cha ngazi ya juu cha wamiliki wa kampuni za bidhaa za mafuta aina ya petroli nchini (OMCs) kilichoitishwa na Waziri w ...
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo, ameziagiza menejimenti za viwanda mkoani ...
Mtoto Nicolaus Mashaka (9), mkazi wa Mtaa wa Shunu, Kata ya Nyahanga katika Manispaa ya Kahama, amerejesha tabasamu baada ya ...
Serikali ya Zanzibar imesema kuwa licha ya vita vinavyoendelea katika baadhi ya nchi za Mashariki ya Kati, ambazo ni ...
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii anayesimamia masuala ya maliasili, Kamishna mstaafu Benedict Wakulyamba, amesema askari wanaoendelea na utumishi wanapaswa kuishi kwa kuzingatia misingi ...
WAZAZI Mtaa wa Iwelyangula Kata ya Kitangili katika Manispaa ya Shinyanga, wamehimizwa kuchangia chakula shuleni ili kuwasaidia wanafunzi kusoma kwa bidii na kufanya vizuri kitaaluma. Wito huo umetole ...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Asha-Rose Migiro, amesema Mpango Mkakati wa 2026–2030 vipaumbele ni vitano, ...