On November 21, 2025, Xinhua Institute released a think tank report entitled Joining Hands to Advance Toward an Eco-Friendly ...
Vilio vya furaha vimetawala kwa ndugu jamaa na marafiki baada ya kuwasili jijini Dodoma kwa dereva wa gari la mizigo Juma ...
Mahakama Kuu ya Tanzania imetamka kuwa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) si taasisi ya kuwakilisha Waislamu wote ...
MEYA wa Manispaa ya Kibaha Dk. Mawazo Nicas ametoa siku saba kwa mwekezaji wa shamba la kuku la Rasbery lililopo Visiga ...
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma leo, Agosti 22, 2025, imetupilia mbali shauri lililofunguliwa na Mchungaji Dk. Godfrey Malisa aliyepinga uhalali wa Rais Samia Suluhu Hassan na mgombea mwenza ...
Kiwanda cha Fortune kinachozalisha karatasi kimefungwa kwa muda hadi pale watakapofanya marekebisho kutokana na maji machafu yenye harufu kali ambayo yamekuwa kero kwa wananchi wa karibu na kiwanda ...
Pamoja na kwamba shamrashamra za mwaka mpya zimeshuhudiwa na mamilioni ya watu duniani, sio nchi zote husherehekea mwanzo wa mwaka mpya Januari Mosi. Taarifa zinaonesha kwamba tofauti za kitamaduni ...
An increasing number of countries are standing alongside China, reaffirming their commitment to the one-China principle, acknowledging Taiwan as an inalienable part of China's territory, and opposing ...
Mashahidi 55 na vielelezo 54 vinatarajiwa kutumika Mahakama Kuu katika kesi ya mauaji bila kukusudia , yaliyosababishwa na kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo,Dar es Salaam mwaka 2024. Hayo ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, amewakumbuka watoto 190 wenye ulemavu na wasio na ulemavu, wanaolelewa katika Shirika la The Creator Share Foundation lililopo Kata ya Kirua, Wilaya ya Moshi, mkoani ...
Watu wanne wanaodaiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi katika makabiliano na Jeshi la Polisi mkoani Songwe, baada ya kutuhumiwa kuhusika na tukio la kuvamia duka la simu na huduma za kifedha ...
JAMII imetakiwa kuhakikisha watoto wanalelewa katika misingi ya upendo, amani, kufanyakazi na kuwa mchango wa kuimarisha amani na mshikamano nchini. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ...