Serikali itaendelea kukiimarisha Chuo cha Ustawi wa Jamii, ili kiendelee kuzalisha wataalamu wenye uwezo wa kukabiliana na ...
Katika jitihada za kuongeza uelewa wa matumizi ya Moduli ya kupokea na kushughulikia Malalamiko na Rufaa kupitia Mfumo wa Kielektroniki wa Ununuzi ya Umma (NeST), Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma ( ...
MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Ziwa Mashariki, imeendesha mafunzo kwa wakaguzi kutoka halmashauri zote za Mkoa ...
Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO, Lazaro Twange, amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi ya umeme inayotekelezwa mkoani Simiyu kwa lengo la kujionea maendeleo ya utekelezaji wa miradi hiyo na kuhakikisha in ...
WIMBI la vurugu limezuka nchini Mexico baada ya anaedaiwa kuwa ni mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya nchini humo kuuawa ...
Kaya 92 zimeathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Mvua hiyo iliyodumu kwa takribani saa mbili ...
Halmashauri ya Wilaya ya Msalala imepanga kukusanya na kutumia jumla ya Sh bilioni 47.8 katika mwaka wa fedha 2026/2027, huku ikielekeza nguvu kubwa katika kukamilisha miradi ya maendeleo iliyoibuliwa ...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, ameahidi kuendelea “kuwasha moto” bungeni kwa kuibua hoja nzito zenye maslahi kwa wananchi wake, zikiwemo ujenzi wa Chuo Kishiriki cha Sokoine Suwa, ujenzi wa ...
RAIA wa Uganda Vicky Ajok aliyekuwa akifanya kazi za ndani huko nchini Syria amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa muajiri wake raia wa Syria. Wakati hukumu hiyo ikitarajiwa k ...
Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa na usimikaji wa mifumo ya usalama na ...
‎Mgogoro wa mirathi unaohusu mali ya aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, marehemu Ernest Ndati Marasa Mashimba, umeibua sintofahamu kufuatia madai ya ubadilishaji wa umiliki wa hati kinyume cha utarati ...