SERIKALI imewahakikishia wananchi kuwa mabasi yote ya mwendokasi yaliyoharibika yatafanyiwa ukarabati na kurejea barabarani ili kuimarisha utoaji na upatikanaji wa huduma. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri ...
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewasisitiza wakazi wa jiji hilo kuendeleza umoja, upendo na mshikamano, ...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Hamad Yussuf Masauni, amewaasa Wajumbe wa Baraza la ...
Jumla ya Watanzania 1,600 wanatarajiwa kunufaika na mpango wa mafunzo ya ufundi wa nishati jadidifu utakaowapatia ujuzi katika teknolojia ya majiko banifu, utengenezaji wa sola na mifumo ya usafiri wa ...
Watumishi kutoka Wizara ya Nishati wamepongeza kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) ambao umefikia asilimia 81 huku ukifungua fursa nyingi kwa wananchi iki ...
Waziri wa Maji, Juma Aweso, amesema umefika wakati kwa wizara hiyo kuanza kushirikisha sekta binafsi katika utoaji wa huduma ...
Serikali imesisitiza umuhimu mkubwa wa ubunifu katika kuimarisha mfumo wa afya nchini Tanzania, akizitaka vyuo vikuu kuharakisha mchakato wa kutafsiri tafiti zao kuwa suluhisho za vitendo zilizo tayar ...
Mwamuzi Nassor Mwinchui, kutoka Tanga amepangwa kuwa mwamuzi wa kati katika mechi ya watani wa jadi nchini, Yanga na Simba ...
Tanzania na Zambia, zimetia saini makubaliano ya utekelezaji wa ushirikiano katika nyanja za kilimo na biashara, wakati ambao ...
Jumla ya Watanzania 1,600 wanatarajiwa kunufaika na mpango wa mafunzo ya ufundi wa nishati jadidifu utakaowapatia ujuzi katika teknolojia ya majiko banifu, utengenezaji wa sola na mifumo ya usafiri wa ...