KILA inapofika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani waumini wa dini ya Kiislamu wanafunga kwa kujizuia kula na kunywa kuanzia Alfajiri (kuchomoza kwa jua) hadi Magharibi (kuzama kwa jua). Kufunga saumu ni moja ...
MWANAMUZIKI kutoka nchini Kenya Bahati hatimaye amekutana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni Mama yake Judith Makokha na kuchukua hatua ya kwenda kupima naye vinasaba (DNA). Mwisho wa mwaka 2025, mwanamuz ...
Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Selemani Said Ally Bungara maarufu kama “Bwege”, ametangaza rasmi kujiondoa katika chama cha ACT Wazalendo. Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma jana Februari 18,20 ...
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema kwa sasa Tanzania imefikia hatua ya kuwa na umeme wa ziada kufuatia kuongezeka kwa miradi mikubwa ya uzalishaji nishati nchini. Amesema hatua hiyo inaimarisha ...
Uamuzi wa serikali kuja na mizani za kidijitali ili kudhibiti unyonyaji wa wakulima katika mazao, kumegeuka kuwa suluhisho la kudumu la kupunguza malalamiko, ubadhirifu. Hatua hiyo imetajwa kuongeza i ...
Jumuiya ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za serikali katika kukuza ari ya mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia kuleta utengamano na mshikamano wa kidugu. Hatua ...
Harakati za kuwawezesha vijana nchini zimepata nguvu mpya baada ya wadau wa maendeleo kukutana katika kikao cha nne cha Kamati Tendaji ya Jukwaa la Maendeleo ya Vijana Tanzania (TYDF) 2026, kilichofan ...
SERIKALI imeagiza ujenzi wa tawi la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) mkoani Njombe ukamilike ifikapo Mei 30 mwaka huu. Imesema agizo hilo ni kulingana na mkataba wa ujenzi, ili kuendana na masharti ya waf ...
WATOTO watatu wakazi wa Kijiji cha Kwangahu kilichopo Kata ya Kitumbi, Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, wamepoteza maisha katika ajali ya moto, baada ya nyumba waliyokuwamo kuteketea kwa moto. Akithib ...