WIMBI la vurugu limezuka nchini Mexico baada ya anaedaiwa kuwa ni mlanguzi mkubwa wa dawa za kulevya nchini humo kuuawa ...
Kaya 92 zimeathiriwa na mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo katika Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Mvua hiyo iliyodumu kwa takribani saa mbili ...
Halmashauri ya Wilaya ya Msalala imepanga kukusanya na kutumia jumla ya Sh bilioni 47.8 katika mwaka wa fedha 2026/2027, huku ikielekeza nguvu kubwa katika kukamilisha miradi ya maendeleo iliyoibuliwa ...
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, ameahidi kuendelea “kuwasha moto” bungeni kwa kuibua hoja nzito zenye maslahi kwa wananchi wake, zikiwemo ujenzi wa Chuo Kishiriki cha Sokoine Suwa, ujenzi wa ...
RAIA wa Uganda Vicky Ajok aliyekuwa akifanya kazi za ndani huko nchini Syria amehukumiwa kifo baada ya kukutwa na hatia ya kumuua aliyekuwa muajiri wake raia wa Syria. Wakati hukumu hiyo ikitarajiwa k ...
Wito umetolewa kwa makampuni makubwa ya uchimbaji madini nchini kuwekeza katika kuwawezesha wachimbaji wadogo katika nyanja mbalimbali ikiwemo teknolojia za kisasa na usimikaji wa mifumo ya usalama na ...
‎Mgogoro wa mirathi unaohusu mali ya aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, marehemu Ernest Ndati Marasa Mashimba, umeibua sintofahamu kufuatia madai ya ubadilishaji wa umiliki wa hati kinyume cha utarati ...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, amewaonya wakandarasi kujenga miradi chini ya kiwango. Ametoa onyo hilo leo, Februari 22, 2026, wakati akizungumza na ...
Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUWATA) Wilaya ya Kibaha, kwa niaba ya walimu 97 wa shule za msingi na sekondari, kimefungua shauri kupinga kukatwa ada kutoka vyama viwili vya ...