SERIKALI mkoani Kilimanjaro imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa ya migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi, huku watendaji wa ngazi za chini wakitakiwa kujitafakari kutokana na kushindwa kutatua kero ...
WANAFUNZI 33 wa udaktari wa binadamu waliohamishwa na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) kutoka Chuo Kikuu cha Mwanza (MzU) kwenda Chuo Kikuu cha Katoliki cha Sayansi na Afya Shirikishi (CUHAS), wameiomba serik ...
SERIKALI imeitaka Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petrol (PURA) kuwaandaa Watanzania katika kushiriki mradi wa kuchakata ...
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kutoa uamuzi Machi 6, 2026, mchana, kuhusu uhalali wa Tume ya Kuchunguza Matukio yaliyotokea Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Uamuzi huo ...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amefungua semina ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka Zanzibar na kusisitiza umuhimu wa kuimarisha usimamizi na uwaj ...
Waziri Mkuu Dk., Mwigulu Nchemba, amepongeza taasisi binafsi kwa kudhamini na kushiriki Mkutano Mkuu wa Bodi na Viongozi wa ...
Waziri wa Vijana, Ajira na Maendeleo ya Ujuzi, Joel Nanauka, ameipongeza ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, akisema imeleta hamasa mpya kwa vijana katika kusukuma mbele ajend ...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, anatarajiwa kufanya ziara ya Kitume kwa siku 10 barani Afrika, mwezi ujao. Taarifa ya Vatican imesema jana Jumatano kwamba mbali ya Afrika, Papa Leo ...