Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imeshusha hadi ngazi ya halmashauri programu ya Jenga Kesho iliyo Bora (BBT)– kwa lengo la kuongeza ushiriki wa vijana katika sekta ya kilimo na kuimarisha kilimo bia ...
Mbunge wa Itwangi Azza Hamad, ameishauri Serikali kuipandisha hadhi barabara ya Didia–Solwa wilayani Shinyanga, ili iweze ...
Tanzania imeahidi kuimarisha ushirikiano wa sekta binafsi ya Tanzania na Shirikisho la Biashara la Singapore kama mkakati wa kukuza kiwango cha biashara baina ya mataifa hayo. Hayo yalisemwa jana na N ...
Jumla ya vibanda 72 vinavyozunguka Soko la Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe, vimefungwa na maafisa mapato wa ...
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, ameipatia tuzo Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kutambua mchango ...
Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) imekubali ombi la washtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha ...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi anayeshughulikia Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Rabia Abdalla Hamid, ametoa maagizo kwa uongozi wa Mkoa wa Mwanza akisisitiza ...
MKUU wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ameapa kuwashughulikia walimu walevi na wale wenye mipango ya kukwepa kufanya kazi katika shule zilizoko maeneo ya vijijini. Sendiga ameyaeleza hayo leo wakati ak ...
Wiki iliyopita, viongozi wa vyama viwili vya siasa vya upinzani, walifunga pingu za maisha na wanachama kutoka vyama vyao vya siasa. Licha umaarufu wao, lakini wanasiasa hao hawakutaka kuweka mlolongo ...
Kizza Besigye, ni mwanasiasa wa upinzani nchini Uganda, ambaye misukosuko kisiasa kwake si jambo geni. Besigye amefikishwa ...
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, ameagiza kuharakishwa kwa mchakato wa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) katika Jiji la Arusha, ili kuboresha na kurahisisha huduma ya usa ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results