‎Mgogoro wa mirathi unaohusu mali ya aliyekuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, marehemu Ernest Ndati Marasa Mashimba, umeibua sintofahamu kufuatia madai ya ubadilishaji wa umiliki wa hati kinyume cha utarati ...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi, amewaonya wakandarasi kujenga miradi chini ya kiwango. Ametoa onyo hilo leo, Februari 22, 2026, wakati akizungumza na ...
Chama cha Kulinda na Kutetea Haki za Walimu Tanzania (CHAKUWATA) Wilaya ya Kibaha, kwa niaba ya walimu 97 wa shule za msingi na sekondari, kimefungua shauri kupinga kukatwa ada kutoka vyama viwili vya ...
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za Watanzania katika utekelezaji wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere, kufuatia ziara ya kikazi iliyofanyika Februari 14, 2026.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka msisitizo wa kuimarisha umoja, mshikamano na upendo kama msingi wa kulinda amani na kuharakisha maendeleo ya taifa, huku kikiahidi kuendelea kuwa karibu na wananchi ...
VIJANA kote nchini wametakiwa kuchangamkia fedha za mikopo Sh. bilioni 200 ambazo zimetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, kupitia Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, kwa ajili ya kuwakwamua kiuchumi. W ...
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi amewasisitiza wananchi kulinda amani, kupinga udini, ukabila, ukanda pamoja na kutambue thamani ya taifa l ...