VIJANA kote nchini wametakiwa kuchangamkia fedha za mikopo Sh. bilioni 200 ambazo zimetolewa na Rais Samia Suluhu Hassan, kupitia Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, kwa ajili ya kuwakwamua kiuchumi. W ...
KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi amewasisitiza wananchi kulinda amani, kupinga udini, ukabila, ukanda pamoja na kutambue thamani ya taifa l ...
VITUO sita vya kilimo ikolojia hai nchini, vinavyotekeleza Mradi wa AgroKilimo, vimekutana katika warsha ya siku tatu kwa ajili ya kuchanganua na kujadiliana namna ya kuendeleza kilimo hicho kwa wakul ...
‎Mbunge wa Viti Maalumu, Jasmin N'gumbi, mwakilishi wa vijana kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Iringa, amemuomba ...
Mmiliki na dereva wa gari la abiria (daladala) linalodaiwa kumgonga na kumuua askari wa usalama barabarani, Koplo Tumsifu ...
CHANGAMOTO ya wanafunzi katika Kijiji Cha Mbatakero wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, kutembea umbali wa kilomita 18 kwenda shule, sasa imekwisha baada ya kuzinduliwa kwa shule mpya ya sekondari Mbatak ...
Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano leo Februari 19 imewapiga msasa Washiriki kutoka katika Wizara mbalimbali pamoja na Taasisi za Serikali kuhusu Mfumo wa Kielektroniki wa Taarifa za Soko ...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Zanzibar kuwa mstari wa mbele kulinda, kuuenzi na kuutetea ...