Ushiriki wa Tanzania katika maonesho makubwa ya utalii duniani ya ITB Berlin nchini Ujerumani umeelezwa kuwa na mafanikio makubwa, huku ukitoa fursa pana ya kuitangaza nchi kama kitovu cha utalii bara ...
Mradi wa ujenzi wa Uwanja wa Ndege mkoani Shinyanga unatarajiwa kufanya mkoa huo kuwa kitovu cha uchumi katika Kanda ya Ziwa, na kuimarisha usafiri wa anga, na kuvutia uwekezaji wa sekta mbalimbali. A ...
Waziri Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ameagiza mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umwagiliaji katika eneo la Ziwa Eyasi, Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, akamatwe na kunyang'anywa hati yake ya kusaf ...
Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) imepitisha rasimu ya bajeti ya shilingi bilioni 992.6 kwa mwaka wa fedha 2026/27. Akizungumza katika kikao cha kamati hiyo kilichotanguliwa na kikao ch ...
‎Watu saba waliokuwa wakishtakiwa kwa makosa mbalimbali, ikiwamo kuchoma majengo ya serikali na kuharibu miundombinu katika ...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amesema serikali inaendelea kutafuta rasilimali zaidi ili kuharakisha ...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Hawa Mchafu, amesema mhimili wa Mahakama unapaswa kuangalia uwezekano wa kushughulikia k ...
Naibu Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania kwa kusimamia na kukamilisha mradi wa kupeleka umeme wa gridi mkoani Kigoma, hatua iliyosaidia kuokoa takribani Sh.bilio ...
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema sheria ya maadili ya viongozi wa umma inawataka viongozi waliopewa dhamana ya kuwaongoza wananchi kuwa wazi kwa kuorodhesha mali au rasilimali wanaz ...
Katika vyumba vya habari vya magazeti, siku zote kuna sauti nyingi zinazochanganyika. Humo waandishi wanakusanya taarifa, ...
Jamii imetakiwa kuendelea kuhamasishwa kuhusu usawa wa kijinsia ili wanawake wapate nafasi, heshima na thamani wanayostahili katika maendeleo ya jamii. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na ...
Benki ya NMB kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) wamezindua huduma mpya ya kidijitali ya Uhakiki wa Dhamana za Zabuni za Kibenki (Digital Bank Guarantee Verification). Hu ...