Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Dk. Revocatus Mushumbusi, amesema taasisi hiyo kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, imeanzisha jukwaa la wadau wa uyoga nchini lenye ...
Mvua zinazoendelea kunyesha, utelezi, milima na miundombinu mibovu ya barabara ni baadhi ya changamoto walizokutana nazo ...
Wizara ya Nishati kupitia Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya mafuta na gesi asilia Dk. James Mataragio imekutana na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), ili kuimarisha shughuli za ...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es ...
Serikali ya Tanzania na Uganda, zimeazimia mikakati mipya ya kuimarisha ushirikiano katika sekta mbalimbali, ikiwamo uchukuzi ...
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema ameondoka nchini humo kwa muda, baada ya kujificha kwa takribani miezi ...
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini wameonyesha kuridhishwa na kushangazwa na kasi ya teknolojia ...
Washarika wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Jimbo la Kaskazini, wamepatiwa mafunzo yatakayowawezesha kuchangamkia fursa zinazotokana na uombaji wa zab ...
Winga wa Arsenal, Max Dowman, mwenye umri wa miaka 16, ameweka rekodi mpya ya kuwa mfungaji mwenye umri mdogo zaidi kwenye ...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Arusha na Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Cecilia Daniel Paresso, ametoa mchango wa mbao zenye thamani ya Sh. 2,500,000, kwa ajili ya ujenzi wa ny ...
Wizara ya Katiba na Sheria, inatarajia kuzindua huduma maalum itakayowapa nafasi wananchi fursa ya kuzungumza moja kwa moja ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results